2003
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1999 |
2000 |
2001 |
2002 |
2003
| 2004
| 2005
| 2006
| 2007
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2003 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 27 Machi - Paul Zindel, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Aprili - Babatunde Olatunji, mwanamuziki kutoka Nigeria
- 20 Aprili - Bernard Katz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 26 Aprili - Yun Hyon-seok, mwandishi kutoka Korea Kusini
- 28 Mei - Ilya Prigogine, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1977
- 30 Juni - Buddy Hackett, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 16 Julai - Carol Shields, mwandishi kutoka Marekani
- 22 Julai - Wahome Mutahi, mwandishi kutoka Kenya
- 4 Agosti - Frederick Robbins (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954)
- 30 Agosti - Charles Bronson, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 3 Septemba - Alan Dugan, mshairi kutoka Marekani
- 12 Septemba - Johnny Cash, mwanamuziki kutoka Marekani
- 13 Oktoba - Bertram Brockhouse, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1994
- 20 Oktoba - Jack Elam, mwigizaji filamu kutoka Marekani
