Maelezo kuhusu taarifaAuthor, Mariam MjahidNafasi, BBC SwahiliDakika 24 zilizopita Muda wa kusoma: Dakika 8 Dalitso Lungu, mwana wa rais wa zamani Edgar Lungu ameamriwa na mahakama ya Zambia arejeshe magari 79 na vipande 23 vya ardhi pamoja na majengo, ikiwemo kituo cha biashara, kituo cha mafuta, "ghorofa za kifahari na makazi ya hadhi ya juu" katika mji mkuu,