Log inSign up
Clouds Media
80.6K posts
Image
user avatar
Clouds Media
@CloudsMediaLive
A multi-national company that is one of East & Central Africa’s most respected media houses and has been recognized as one of the country's premier.
88.5 FM Dar es salaam
cloudsmedia.co
Joined June 2015
43
Following
1.9M
Followers
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Dec 18, 2022
    Neno moja kwake
    Image
    182K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    May 4, 2020
    “Kama leo mkipiga Yope aliyonishirikisha Innoss’B nahisi itawainua watanzania wote waliolala majumbani kutokana na janga hili la Corona” @diamondplatnumz #BongeLaMpambanaji
    Image
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Dec 30, 2022
    Kwani Saido ana miaka mingapi ? 🤣🙌
    Image
    190K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Dec 16, 2022
    Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe amesema kwenye mechi yao ya fainali dhidi ya Argentina anategemea sapoti kubwa kutoka barani Afrika kwa kuwa Wafaransa wengi asili yao ni Afrika .
    Image
    184K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Mar 21, 2023
    Kuna nini kwani kwa DIGALA ?
    Image
    263K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Jul 25, 2022
    “Nimeachwa, sina mume. Jimbo halina mtu” - @fatma_karume #Jahazi
    Image
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Feb 14, 2023
    "Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu? Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
    Image
    432K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    May 24, 2023
    “Feisal bado anaendelea kupokea Mshaharaa Yanga, amepokea hadi mwezi January, lakini baada ya hapo akaunti yake ilianza kuwa na shida kwa kuwa inarejesha pesa ila kila mwezi tunamuingizia pesa lakini zinarudishwa na ushahidi tunao, tumeomba akaunti mbadala ili tumuwekee pesa
    Image
    267K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Apr 16, 2020
    Bei ya Sukari mtaani kwako imefika shilingi ngapi...?
    Image
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Apr 20, 2024
    Clouds Media inasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Gardner G Habash, ambaye alikuwa mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kilichotokea usiku wa kuamkia leo. Taarifa zaidi kuhusu msiba zitatolewa baadae. Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki, wafanyakazi wenzake na mashabiki wa
    Image
    178K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    May 8, 2020
    Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ukerewe Masoud Mohamed amefariki dunia, Afande Masoud alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii kwa usomaji wa Quran. Taarifa zaidi kutoka Jeshi la Polisi zitakujia.
    Image
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Sep 3, 2021
    Jezi ipi kali zaidi kati ya hizi!? A) @yangasc1935 B) @SimbaSCTanzania
    Image
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    May 17, 2023
    Mfanyabiashara kutoka Kariakoo amefunguka ya moyoni na kusema hatamani kumrithisha mtoto wake biashara ila anatamani aingie TRA maana huko ukiingia unajichotea. #KutokaKariakoo
    Image
    00:00
    423K
  • user avatar
    Clouds Media
    @CloudsMediaLive
    Feb 11, 2023
    Neno moja kwa Air Manula
    Image
    106K

New to X?

Sign up now to get your own personalized timeline!

Create account

By signing up, you agree to the Terms of Service and Privacy Policy, including Cookie Use.

Terms·Privacy·Cookies·Accessibility·Ads Info·© 2026 X Corp.
Don't miss what's happening
People on X are the first to know.
Log inSign up
Advertisement
Advertisement