Log inSign up
Faustine Ndugulile
12.4K posts
Image
user avatar
Faustine Ndugulile
@DocFaustine
Doctor. Parliamentarian. Fmr Minister ICT. Fmr Deputy Minister of Health. Passionate about Sports, ICT & Global Health. WHO AFRO Regional Director-Elect
Tanzania
faustinendugulile.com
Joined March 2009
1,343
Following
329K
Followers
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    May 17, 2020
    Nimepokea uamuzi wa Mhe Rais kwa unyenyekevu mkubwa. Ninamshukuru sana JPM kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake. Nawashukuru sana @umwalimu na watendaji wote kwa ushirikiano walionipatia. Mafanikio ya sekta ni makubwa sana. Namtakia kila la kheri NW ajaye Dkt Mollel.
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Sep 13, 2021
    Namshukuru sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake. Nawashukuru Wizara na Taasisi zake kwa ushirikiano walionipa. Nashukuru wadau wa TEHAMA kwa ushirikiano mlionipa. Hongera sana Mhe Dkt Ashatu Kijaji kwa kuteuliwa. Kazi Iendelee
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Nov 24, 2022
    Finally! A LL.B in town.
    Image
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Jul 26, 2020
    Tunawashukuru nyote kwa kushirikiana nasi kwa hali na mali tangu msiba wa Baba yetu Gabriel Sengo Ndugulile utokee tarehe 18.07.2020 Kigamboni hadi kuzikwa kwake Nzega tarehe 24.07.2020. Itoshe kusema ASANTENI SANA. Kama familia tumefarijika salama kwa upendo wenu.
    Image
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Aug 23, 2020
    Nahitaji posters na flyers kwa ajili ya kampeni za uchaguzi. Nawakaribisha graphic designers kunitumia sampuli zikiwa na picha, jina langu na kaulimbiu kwa njia ya DM. Nitawasiliana TU kwa maongezi zaidi na wale ambao kazi zao zitakuwa za viwango na ubunifu wa juu. Karibuni.
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Aug 20, 2020
    SHUKRANI SANA "WAJUMBE" Kwa unyenyekevu mkubwa napenda kuwashukuru sana WAJUMBE wa Halmashauri Kuu CCM (T), Kamati Kuu na Kamati za Siasa waliojadili na kupitisha jina langu kuwa Mgombea wa Ubunge Jimbo la… instagram.com/p/CEHZtKMAAKW/…
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Mar 10, 2022
    Tanzania bado tuko nyuma sana katika biashara mtandao. Tunahitaji kukuza na kuilea e-commerce. Vijana wengi wamejiajiri kupitia mfumo huu. Kuanza kutoza kodi mapema kutadumaza mfumo huu na kuua ajira nyingi. Nguvu ielekezwe katika kuimarisha usalama na imani kwenye biashara hii.
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    May 21, 2020
    Leo nimepata fursa ya kukabidhi rasmi ofisi kwa Naibu Waziri wa Afya. Nimpongeza Dkt Mollel kwa kuteuliwa na kumshukuru sana Mhe Waziri Ummy kwa ushirikiano alionipa. Nimemshukuru Rais Dkt Magufuli kwa imani yake kwangu katika kipindi chote nilichohudumu kwenye nafasi hii.
    Image
    Image
    Image
    Image
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    May 24, 2020
    Eid Mubarak kwako na familia yako. Tusherekee kwa amani na utulivu huku tukichukua tahadhari zote tunazoshauriwa na wataalamu wa afya kuhusu ugonjwa wa Covid-19. Nawatakia sikukuu njema. #eidmubarak #Eid2020
    Image
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Apr 30, 2023
    Suala la taa kuzima Uwanja wa Benjamin Mkapa ni aibu kubwa sana kwa nchi yetu. Maswali ya kujiuliza: 1. Je hatufanyi ukaguzi wa mifumo kabla ya mechi? 2. Je, hatuna mifumo ya dharura yanapotokea majanga? 3. Fedha za mgao wa uwanja zinaenda wapi?
    173K
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Jul 29, 2020
    Mengi yamesemwa kuhusu Hayati Benjamin Mkapa, nami niseme moja. mwaka 2004 nikiwa Ofisa ndani ya Wizara ya Afya tuliazimia kuanzisha mpango wa kutoa dawa za kurefusha maisha kwa watu wanaoishi na VVU nchini (ARVs).… instagram.com/p/CDNruylAOjW/…
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    May 7, 2020
    Kuna taharuki kubwa kuhusu uhaba wa vidonge vya Vitamin C kwa baadhi ya maeneo hapa nchini. Sisi kama wataalamu wa afya, tunashauri zaidi watu watumie matunda kama machungwa, malimao, ndimu, mananasi na mapapai nk. Vidonge ni mbadala pale hakuna matunda na mboga zenye Vit C.
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    May 11, 2020
    Tupuuze taarifa za uzushi zinazosambazwa kuhusu afya yangu. Niko mzima kabisa na ninaendelea na majukumu yangu. Pole nyingi kwa walioguswa na taarifa za uzushi. Disregard the FAKE NEWS circulating that I am unwell. I am Ok and busy with my usual routine. Keep well and safe
  • user avatar
    Faustine Ndugulile
    @DocFaustine
    Feb 24, 2024
    Kila la kheri Yanga. Nashukuru kwa kuchagua Kigamboni kuwa sehemu ya kuweka kambi yenu.
    Image
    39K

New to X?

Sign up now to get your own personalized timeline!

Create account

By signing up, you agree to the Terms of Service and Privacy Policy, including Cookie Use.

Terms of Service|Privacy Policy|Cookie Policy|Accessibility|Ads info|© 2026 X Corp.
Don't miss what's happening
People on X are the first to know.
Log inSign up
Advertisement
Advertisement