Pinned
Wiki iliyopita nilifanya Interview kampuni “x” na nikapata kazi.
Cha ajabu nikitaka kusaini mkataba moyo unagoma kabisa na badala yake nawaza kufungua biashara hata ya mtaji wa 5M nikomae nayo..
Mawazo tutani mnanishsur nifanye uamuzi upi??
Na kma ni biashara je ni ipi??






