Log inSign up
Enold Elisha Kassedy
53K posts
Image
user avatar
Enold Elisha Kassedy
@EnoldKassedy
Raia, kaka, Baba na Mume. #Hashaq
#BUTEMINE
bugara.or.tz
Joined December 2016
242
Following
4,081
Followers
  • Pinned
    user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Sep 30, 2024
    Waraka wa Amani. 30 Sept 2024. Ndg, Rais wa JMT @SuluhuSamia , Wazee na; vyombo vyote vya nchi vya siri na wazi. Nchi nzima, YAH: KIJANA ATUZWE. UTANGULIZI Kushindwa kumtunza kijana tutakuwa taifa katili na daifu. Taifa hili, Vijana ni wengi asilmia
    Image
    Image
    Image
    Image
    7.8K
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Sep 30, 2022
    UNAFIKI- Vijana KUSIFIA uongo Uongozi. UCHAWA: vijana kujipendekeza kwa viongozi kutokana na unafiki wao. Wanyama wakali wanaulitafuna taifq.
    Image
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Mar 20, 2022
    Nshara, kanisa liliasisiwa na Aikael na baadae miaka zaidi ya 60 Freeman akalivunja na kusimamisha hili jengo la kuabudia na Leo 100M kumalizia, Mke, ahoji kwamba hajui kwamba wanavyo hangaika hivi watoto wa Freeman, hawatalivunja na kujenga kubwa zaidi? @frediejustine
    Image
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Jun 10, 2022
    Replying to @Nnauye_Nape
    Ibara ya 18 ya katiba ya JMT inarushusu kutafuta taarifa na kuzisambaza na haijasema ni lazima ziwe taarifa za kweli. Swala la UKWELI wa taarifa hutolewa na mamlaka husika ndio maana mamlaka zikawepo.
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Sep 10, 2020
    Kwa hili @TumeUchaguziTZ tunaipongeza kwa kazi yao hiyo Tunaomba huu uwe mwanzo wa kutenda kwa mjibu wa maadili yao zaidi
    user avatar
    Hilda Newton
    @HildaNewton21
    Sep 10, 2020
    Habari njema Tume ya Uchaguzi imemrejesha Mgombea wetu wa Ubunge jimbo la Muheza Mhe. #Yosepha_Komba. Nimefurahi sana aisee, sasa kazi ni moja tu kuhakikisha tunatafuta kura za kutosha.💪 #ShangaziPower #HakiNaMaendeleoYaWa
    Image
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Dec 4, 2022
    Nikiwa kwa ardhi na kamanda #CeciliaKway tukipanda mbegu ya itikadi, falsafa na madhumuni ya @ChademaTz ya kupiga vita Unyanyasaji, udhalilishaji na ubaguzi wa aina yeyote ili kuwa na taifa lenye usawa, uwajibikaji, demokrasia, Uhuru,Haki na maendeleo. #Ukongatunasongakidigitali
    Image
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Sep 21, 2024
    Replying to @ayubu_madenge
    Mungu ni mwaasisi wa demokrasia, mfano tu hakumpangia RC Makonda cha kusema/kufikiria.
    10K
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Sep 16, 2020
    Hilo nalo ni tetemeko kama lile ambalo hakukileta meko
    user avatar
    Hilda Newton
    @HildaNewton21
    Sep 16, 2020
    Meko : Bukoba mtanipa kura zenu? Wananchi wa Bukoba: Hatukutaki Meko: Mnasema? Wananchi wa Bukoba: Hatukupi kura zetu. TBC : Kata matangazo Me : 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Feb 12, 2023
    Huu msimamo wa @TunduALissu Ndio ninaouunga mkono na ni msimamo wa kila wanaume timamu Nashangaa Wale wapotoshaji huwa hawapati hizi video halisi ila zile za kubumba tu. Zaidi rais SHS amesema tuwalee wadogo zetu maana huko nje sio salama. Hivyo, tunakazia msimamo huu
    Image
    00:00
    5.4K
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Nov 30, 2021
    Replying to @fatma_karume
    @fatma_karume mfungulie kama kweli uko real kwenye kutetea hiyo hoja. Nadhani @Mangiwakwanza alitaka uone magnitude ya hili tatizo unaloona ni sawa kwa kutumia neno Watoto wako (unao au lah!) Hajataja jina la mtoto wako. Uhuru wa kujieleza Wenye mipaka sio uhuru huo.
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Apr 29, 2024
    Replying to @LensationEnts
    Wahaya na "Muhamala" Women are the source of singles families in 99%
    22K
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Jan 14, 2023
    "Ninafahamu kwamba, licha ya ahadi ya mheshimiwa rais na licha ya utayari wangu na wetu, siku zijazo hazitakuwa rahisi. Ninajua kuwa tutakabiliwa na Majaribu ya kila namna na tutapitishwa katika tanuru Kubwa la matatizo na magumu mengi. Lakini licha ya mazingira hayo magumu,
    Image
    7.8K
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Jun 26, 2024
    Replying to @EduTalkTz
    Acha wivu kaka. Kama nakumbuka Daktari wa uchumi @mwigulunchemba1 wa @udsm_alumni , alishasema hakuna raia atakuja kudaiwa na kulipa hilo deni. Nadhani viongozi wetu wanaokopa watauza Figo zao India ili warejeshe deni. Tuwe na subira
    17K
  • user avatar
    Enold Elisha Kassedy
    @EnoldKassedy
    Oct 12, 2024
    Replying to @IAMartin_
    Katikati ya Escort ndefu ya waziri mkuu eti kuna gari lipo road tena la mhamiaji na likafanikiwa kugonga na kumuua waziri mkuu wanchi. Huku rais akisema ni ajali tu imemuaa. Drama za nchi hii zimeanza muda sana
    11K

New to X?

Sign up now to get your own personalized timeline!

Create account

By signing up, you agree to the Terms of Service and Privacy Policy, including Cookie Use.

Terms·Privacy·Cookies·Accessibility·Ads Info·© 2026 X Corp.
Don't miss what's happening
People on X are the first to know.
Log inSign up
Advertisement
Advertisement