Log inSign up
Taivina James
161.9K posts
Image
user avatar
Taivina James
@Thereal_taivina
1TB Brain Hard Disk 🧠
Where The Money Resides 📍
linktr.ee/Bettingbrain_
Joined December 2017
1,513
Following
54.3K
Followers
  • Pinned
    user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Jun 7
    World Cup ya Mwisho kubeti kimaskini. 🙏
    15K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Apr 20, 2025
    Huyu Mama angekuwa Mbunge Wangu kura yangu angekula kiboss tu bila hata nguvu nyingi. Kuna viongozi wanazurura page za Udaku tu wakikutana na Kesi zetu hata tukiwa Tag wanazipita post kama Ads za Alibaba ila huyu Mama anajitahidi sana japo hawezi wafikia wote. Mungu amuweke
    Image
    224K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Jul 1, 2024
    Kwa kipindi kifupi nimeshinda na hawa watu kwa ukaribu sana kitu nilikuja kugundua hawa watu kwa Ground wanafanya mambo makubwa sana kuliko hata yanayoonekana huku. Hata siku ambayo tupo Muhimbili tukisuburi Ambulance ya Sativa ifike nilishangaa sana Martin kuwa busy na Simu
    Image
    Image
    Image
    142K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Jun 3, 2025
    Siku ya Tukio kamaliza Ibada ila kapoa church mpaka saa 5 usiku, Haieleweki kateleza vp mule ndani 😂😂 Waumini wake waliunganishiwa Bulk SMS. Tukiwa mwezi May jamaa alikuwa anaishi Mwezi June. Genius Kweli Kweli. 🔥🔥
    Image
    167K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Jul 3, 2024
    Nilitaka niandike baada ya kuona upande wetu ambao ni wa familia ni nini kitafanyika baada ya Statement ya jana lakini bado kimya. Acha niongee kwa upande wangu mwenyewe iko hivi Sativa alipotea kwa siku zaidi ya 3 mimi ndo mtu wa kwanza kugundua kuwa Sativa amepotea na ndio mtu
    Image
    314K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Oct 4, 2025
    Ni weekend ila Football leo iniache kidogo nipo hapa. 🔥🔥🔥
    Image
    68K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Sep 22, 2024
    Kuna jamaa kasema Polisi wengine washukuru maandamano maana hawajawahi fika Dar.
    Image
    69K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Sep 22, 2024
    Ungekuwepo uraiani leo tungeshinda kwenye Account yako mwanetu kufuatilia maelekezo. Ila as long as tunajua upo wapi Mungu atatenda. 🤝
    Image
    35K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Sep 6, 2024
    Mchizi anaweza akakwambia amepata kazi humu saizi mwezi wa 9 akawa mambo mbaya anakuomba hadi vocha mwezi wa 10 anakupa lift wewe kwenye gari yake. Sio mwana mmoja au wawili mi nimewaona wanaojua wanajua pengine kuna mgodi wa hela humu. IYKYK🤝
    Image
    264K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Dec 19, 2024
    Mungu akikutoa Salama huko uliko ukirudi tuendelee na mishe zingine mwanetu machizi wameku snitch kisenge.
    Image
    102K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Mar 29, 2025
    Kama kweli Mwakibete kanunua hili Chuma kiroho safi nampa hongera. Hii chuma inauzwa Usd 400k sio kitoto.
    Image
    229K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Sep 7, 2024
    Haikustahili kabisa muishi kwa hofu kwenye nchi yenye uhuru mkiwa hamna makosa. Mungu awalinde wazee @TitoMagoti X @rollymsouth
    Image
    Image
    58K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Jun 7, 2025
    Tukipata Reform maana yake uchaguzi utakuwa wa haki, Uchaguzi ukiwa wa Haki maana yake tutapata Viongozi Bora, Tukipata Viongozi Bora maana yake Kodi, Ushuru, Elimu na biashara itakuwa ni kuteleza tu. Repost Repost Repost
    Image
    31K
  • user avatar
    Taivina James
    @Thereal_taivina
    Sep 30, 2024
    Kopo moja tu la kichwa mnatoka kukemea vikali ila raia wanamwagiwa tindikali, wanapigwa Risasi, wanapotezwa hamtoki kukemea. Na wewe Barnaba utapokea haki yako umesema zaidi ya mara 3 ya nne itakuwa kwako Rasta.
    Image
    140K

New to X?

Sign up now to get your own personalized timeline!

Create account

By signing up, you agree to the Terms of Service and Privacy Policy, including Cookie Use.

Terms·Privacy·Cookies·Accessibility·Ads Info·© 2026 X Corp.
Don't miss what's happening
People on X are the first to know.
Log inSign up
Advertisement
Advertisement