Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia akiwa na mchezaji wa @SimbaSCTanzania Pape Ousmane Sakho baada ya kushinda Tuzo ya Goli Bora kwenye Tuzo za CAF 2022.
@azamtvtz @SimbaSCTanzania @WallaceKaria @tplboard @CAF_Online @CAFCLCC
TFF TANZANIA
46.4K posts
Official Twitter account of the Tanzania Football Federation. Founded in 1930 and affiliated to FIFA in 1964.
- Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) @azamtvtz @tanfootball @tplboard @CAF_Online
- Kila la heri Simba SC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) vs De Agosto @cafclcc @SimbaSCTanzania @ligikuu
- Hongera @yangasc1935 kwa ubingwa wa Ngao ya Jamii 2022. @azamtvtz @NBCTanzania @tplboard @CAF_Online
- Kila la heri Simba SC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) vs De Agosto @cafclcc @simbasctanzania @tplboard
- Hongera Baraka Majogoro kwa kuwa mchezaji bora wa mchezo wa Chippa United vs Supersport United Ligi Kuu ya Afrika Kusini.
- Mtanzania Kelvin John amepandishwa rasmi kwenye Timu kubwa ya KRC Genk , Ubelgiji, kila la heri Kelvin @KRCGenkofficial @taifastars_ @SerengetiBoys















