Nenda kwa yaliyomo

Piemonte

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Image
Piemonte,Italia
Bendera ya Piemonte.
Bendera ya Piemonte.
Image
Mahali pa Piemonte katika Italia.

Piemonte ni mkoa wa Italia. Uko upande wa kaskazini magharibi na kupakana na Ufaransa na Uswisi katika milima ya Alps.

Mji mkuu wake ni Torino, ambao ni wa nne nchini baada ya Roma, Milano na Napoli.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]


 
Mikoa ya Italia
Image
Mikoa ya kawaida
Abruzzo | Basilicata | Calabria | Campania | Emilia-Romagna | Lazio | Liguria | Lombardia | Marche | Molise | Piemonte | Puglia (Apulia) | Toscana | Umbria | Veneto |
Mikoa yenye katiba ya pekee
Friuli-Venezia Giulia | Sardinia | Sisilia | Trentino-Alto Adige | Valle d'Aosta
Image Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Piemonte kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.