@Dr_DGwajima Mh waziri hatukufundishi kazi lakini ww kama mtumishi wa serikali na Umma unatakiwa Kujua Audience yako iko kwenye wakati gani na ujibu vipi ilikua rahisi kwa ww kusema tu " Nimesikitishwa na tukio lilotokea lakini hili swala lipo chini ya wizara nyingine".
huu mtego Rais wa zanzibar yuko anafikiria atauvuka vipi maana Akisema azike mkuraga itaondoa Credentials zake za uzanzibar na wapinzani wake wataitumia kisiasa akisema amzike Zanzibar atakua amekiuka Maelekezo ya Mzee mzigo 50/50 huu 🤔
Speech Ndeefu😂 ulitakiwa kuwapongeza tu Yanga Basi ingetosha Mpira wa Afrika hauhitaji Maneno leo Hawa yanga unawapamba vizuri keaho atakutana Na Mazembe unaweza Mkataa Mpira ni tatics sio Mapambio leo yanga alikua bora kuliko CRB wame win tusubiri yajayo usinene ukamala
Kwa nini watu wa yanga Kila kitu ili kuoneka kiko sawa lazima mtolee mfano wa Simba miongoni mwa mapinduzi mnayoyahubiri hili linatakiwa likome mnaonekan kwamba hamna mipango bali mnashindana🤔